< ᎪᎵᏂᏗᏱ ᎠᏁᎯ ᏔᎵᏁ ᎨᎪᏪᎳᏁᎸᎯ 2 >

1 ᎠᏎᏃ ᎯᎠ ᏄᏍᏛᎩ ᎠᏋᏒ ᎨᏒ ᏓᏊᎪᏔᏅᎩ, ᎾᏍᎩ ᏔᎵᏁ ᏫᏨᎷᏤᏗᏱ ᏂᎨᏒᎾ ᎤᏲ ᎬᏆᏓᏅᏘ.
Hivyo nilikusudia moyoni mwangu nisifanye ziara nyingine yenye kuwaumiza ninyi.
2 ᎢᏳᏰᏃ ᎤᏲ ᏱᏨᏯᏓᏅᏓᏗᏍᏔᏅ, ᎦᎪ ᎣᏍᏛ ᏯᏆᏓᏅᏓᏗᏍᏓ, ᎾᏍᎩᏉ Ꮎ ᎤᏩᏒ ᎤᏲ ᏥᏯᏓᏅᏓᏗᏍᏔᏅᎯ?
Kwa kuwa kama nikiwahuzunisha ninyi, ni nani aliyebaki wa kunifurahisha isipokuwa ninyi ambao nimewahuzunisha?
3 ᎠᎴ ᎾᏍᎩ ᏥᏄᏍᏛ ᏥᏫᏨᏲᏪᎳᏁᎸᎩ, ᏞᏍᏗᏉ ᎾᎿᎭᏫᏥᎷᏨᎭ, ᎤᏲ ᏱᎬᏆᏓᏅᏓᏗᏍᏔᏁᏍᏗ ᎾᏍᎩ Ꮎ ᎤᎵᎮᎵᏍᏗ ᎬᏆᏓᏅᏓᏗᏍᏙᏗ ᏥᎩ, ᎠᏇᎵᏒᎩ; ᏂᏥᎥᏉ ᎢᏨᏲᎢᏳᎭ ᎾᏍᎩ ᏄᏍᏛ ᎠᏆᎵᎮᎵᏍᏗᏍᎬ ᎾᏍᏉ ᎾᏍᎩ ᏂᎯ ᏂᏥᎥ ᎢᏣᎵᎮᎵᏍᏗᏍᎬᎢ.
Niliandika hivyo kama nilivyofanya, ili nikija nisihuzunishwe na wale watu ambao wangenifanya nifurahi. Nina uhakika na ninyi nyote, kwamba wote mngeshiriki furaha yangu.
4 ᎤᏣᏘᏰᏃ ᎠᎩᎵᏯ ᎨᏒ, ᎠᎴ ᎡᎯᏍᏗ ᎠᏆᏓᏅᏔᏩᏕᎬ ᏫᏨᏲᏪᎳᏁᎸᎩ ᎤᏣᏘ ᏗᎦᏥᎦᏌᏬᎢᎯ ᎨᏒᎢ; ᎥᏝ ᎠᏗᎾ ᎤᏲ ᎤᎾᏓᏅᏓᏗᏍᏙᏗ ᎨᏎᏍᏗ ᏯᏇᎵᏎᎢ, ᎢᏥᎦᏙᎥᎯᏍᏗᏱᏉᏍᎩᏂ ᎾᏍᎩ ᎤᏣᏔᏅᎯ ᎢᏨᎨᏳᎢᏳ ᎨᏒᎢ.
Kwa maana niliwaandikia kutokana na dhiki kubwa na kutaabika sana kwa moyo wangu tena kwa machozi mengi, shabaha yangu si ili niwasababishe mhuzunike bali kuwaonyesha kina cha upendo wangu kwenu.
5 ᎢᏳᏍᎩᏂᏃᏅ ᎩᎶ ᎡᎯᏍᏗ ᏧᏓᏅᏓᏗᏍᏔᏅᎯ ᎨᏎᏍᏗ, ᎥᏝ ᎠᏴᏉ ᎡᎯᏍᏗ ᏯᏆᏓᏅᏓᏗᏍᏔᏅ; ᏂᎯᏍᎩᏂ ᏂᏥᎥ ᏰᎵ ᎡᎯᏍᏗ ᎢᏣᏓᏅᏓᏗᏍᏔᏅ; ᎾᏍᎩ ᏥᎶᏒᏍᏓᏁᏗᏱ ᏂᎨᏒᎾ ᏥᎳᏫᏎᎲᎢ.
Lakini ikiwa mtu yeyote amesababisha huzuni, kwa kiasi fulani hakunihuzunisha mimi kama vile alivyowahuzunisha ninyi nyote, ili nisiwe mkali kupita kiasi.
6 ᎠᎵᏉ ᎾᏍᎩ ᎢᏳᏍᏗ [ ᎠᏍᎦᏯ ] ᏅᏍᏛᏛᎢ ᎾᏍᎩ ᎤᏂᏣᏘ ᏥᎬᏩᏍᏛᏗᏍᏔᏅ.
Adhabu hii aliyopewa na wengi inamtosha.
7 ᎾᏍᎩᏃ ᎪᎯ ᎨᏒ ᏰᏥᏙᎵᏨᏉ, ᎠᎴ ᏰᏥᎦᎵᏍᏓᏛ, ᏱᏅᏎᎦᎩ ᎾᏍᎩ ᎤᏣᏘ ᎤᏲ ᎤᏰᎸᏒ ᏳᏃᏴᏘᏍᏓ.
Basi sasa badala yake, inawapasa kumsamehe na kumfariji, ili asigubikwe na huzuni kupita kiasi.
8 ᎾᏍᎩ ᎢᏳᏍᏗ ᎢᏨᏔᏲᏎᎭ ᎡᏥᏍᏓᏱᏕᏗᏱ ᎡᏥᎨᏳᎢᏳ ᎨᏒᎢ.
Kwa hiyo, nawasihi, mpate kuuthibitisha tena upendo wenu kwa ajili yake.
9 ᎾᏍᎩᏰᏃ ᎯᎠ Ꮀ ᎤᎬᏩᎸᎩ ᏥᏫᏨᏲᏪᎳᏁᎸᎩ, ᎾᏍᎩ ᎢᏨᎪᎵᏰᏍᎬᎩ, ᎾᏍᎩ ᏂᎦᎥ ᏧᏓᎴᏅᏛ ᏂᏨᏪᏎᎲ ᏂᏣᏛᏁᎲ ᎠᎴ ᏂᏣᏛᏁᎲᎾ ᎨᏒᎢ.
Sababu ya kuwaandikia ni kuona kama mngeweza kushinda hilo jaribio na kutii katika kila jambo.
10 ᎩᎶ ᏰᏥᎥᎡᎸ ᎪᎱᏍᏗ ᎤᏍᎦᏅᏨ, ᎠᏴ ᎾᏍᏉ ᏥᎥᎡᎭ; ᎢᏳᏰᏃ ᎠᏴ ᎪᎱᏍᏗ ᎠᏍᎦᏅᏨᎢ ᏱᏥᎥᏍᎦ, ᎾᏍᎩ ᏥᎥᎡᎸᎯ ᏂᎯ ᎨᏒ ᏅᏓᏳᎵᏍᏙᏔᏅᎩ ᏥᎥᎡᎸᎩ ᎦᎶᏁᏛ ᎠᎦᏔᎲᎢ;
Kama ninyi mkimsamehe mtu yeyote, mimi pia nimemsamehe. Kile nilichosamehe, kama kulikuwa na kitu chochote cha kusamehe, nimekwisha kusamehe mbele ya Kristo kwa ajili yenu,
11 ᎾᏍᎩ ᎠᏍᎩᎾ ᎢᎩᎶᏄᎮᏗᏱ ᏂᎨᏒᎾ; ᎥᏝᏰᏃ ᏱᎩᎪᏁᎸ ᎾᏍᎩ ᎠᏓᏅᏖᎵᏙᎲᎢ.
ili Shetani asitushinde. Kwa maana hatuachi kuzijua hila zake.
12 ᎠᎴᏬ ᏠᎠᏏ ᏗᎩᎷᏨ ᎣᏍᏛ ᎧᏃᎮᏛ ᎦᎶᏁᏛ ᎤᏤᎵ ᎠᏆᎵᏥᏙᏂᎸ, ᎠᎴ ᎦᎶᎯᏍᏗᏱ ᎠᎩᏍᏚᎩᎡᎸ ᎤᎬᏫᏳᎯ,
Basi nilipofika Troa kuhubiri Injili ya Kristo na kukuta kwamba Bwana alikuwa amenifungulia mlango,
13 ᎥᏝ ᏙᎯ ᎬᏆᏓᏅᏓᏗᏍᏗ ᏱᎨᏎ ᏗᏆᏓᏅᏛᎢ, ᏅᏓᎦᎵᏍᏙᏗᏍᎬᎩ ᏓᏓᏏ ᎥᎩᏅᏟ ᏂᏥᏩᏛᎲᎾ ᎨᏒᎢ; ᎥᎦᏥᏴᏕᏨᎩᏃ ᎾᎿᎭᎠᏆᏂᎩᏒᎩ ᎹᏏᏙᏂ ᏩᎩᎷᏨᎩ.
bado nilikuwa sina utulivu akilini mwangu kwa sababu sikumkuta ndugu yangu Tito huko. Hivyo niliagana nao nikaenda Makedonia.
14 ᎾᏍᎩᏃ ᎠᎵᎮᎵᏤᏗ ᎨᏎᏍᏗ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎾᏍᎩ ᏂᎪᎯᎸ ᎢᎦᎵᎮᎵᏍᏗᏱ ᏥᏂᎬᏁᎭ ᎢᎦᏓᎵᏁᎯᏛ ᎤᎬᏩᎵ ᎦᎶᏁᏛ ᎡᏓᎵᏍᎦᏍᏙᏛᎢ, ᎠᎴ ᎬᏂᎨᏒ ᏥᏂᎬᏁᎭ ᎦᏩᏒᎬ ᎤᏩᏒ ᎠᏥᎦᏙᎥᎯᏍᏗ ᎨᏒ ᎠᏴ ᎢᎬᏗᏍᎬ ᏂᎦᎥ ᏕᎨᏌᏗᏒᎢ.
Lakini Mungu ashukuriwe, yeye ambaye siku zote hutufanya tuandamane kwa ushindi tukiwa ndani ya Kristo. Naye kupitia kwetu hueneza kila mahali harufu nzuri ya kumjua yeye.
15 ᎠᏴᏰᏃ ᎤᎦᎾᏍᏛ ᎦᏩᏒᎩ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎤᏪᏩᏒᎢᏍᏗ ᏃᏣᎵᏍᏗᎭ ᎦᎶᏁᏛ ᎤᏤᎵᎦ, ᎾᏍᎩ ᎨᏥᏍᏕᎸᏗ ᏥᎩ, ᎠᎴ ᎾᏍᎩ ᏧᏂᏲᎱᎯᏍᏗ ᏥᎩ.
Kwa maana sisi kwa Mungu ni harufu nzuri ya manukato ya Kristo miongoni mwa wale wanaookolewa na kwa wale wanaopotea.
16 ᎾᏍᎩ ᏑᎾᏓᎴᎩ ᎨᏒ ᎠᏓᎯᎯ ᎦᏩᏒᎩ ᎾᏍᎩ ᎤᏂᎯᎯ ᏂᏙᏣᎵᏍᏓᏁᎭ; ᎠᏂᏐᎢᏃ ᎠᏓᏛᏂᏗᏍᎩ ᎦᏩᏒᎩ ᎾᏍᎩ ᎤᏅᏂᏗᏍᎩ ᏂᏙᏣᎵᏍᏓᏁᎭ. ᎦᎪᏃ ᏰᎵ ᎦᏰᎦᎨᏅᏗᏍᏗ ᎯᎠ ᎾᏍᎩ ᏗᎦᎸᏫᏍᏓᏁᏗ ᎨᏒᎢ.
Kwa wale wanaopotea, sisi ni harufu ya mauti iletayo mauti; lakini kwa wale wanaookolewa, sisi ni harufu nzuri iletayo uzima. Ni nani awezaye mambo hayo?
17 ᎥᏣᏰᏃ ᏧᏂᏣᏔᏉ ᏥᏄᎾᏍᏗ ᏱᏃᎦᏍᏗ, ᎾᏍᎩ ᎠᏂᏲᏍᏗᏍᎩ ᎧᏃᎮᏛ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎤᏤᎵᎦ; ᏃᎦᏠᎾᏍᏛᎾᏍᎩᏂ ᎨᏒ ᏦᏨᏗᏍᎪᎢ, ᎤᏁᎳᏅᎯᏍᎩᏂ ᏥᏂᎬᏂᏏᏍᎪ ᎾᏍᎩᏯᎢ, ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎠᎦᏔᎲ ᎣᏥᏁᎢᏍᏗ ᎦᎶᏁᏛ.
Tofauti na watu wengine wengi, sisi hatufanyi biashara na Neno la Mungu kwa ajili ya kupata faida. Kinyume chake, katika Kristo tunalisema Neno la Mungu kwa unyoofu, kama watu tuliotumwa kutoka kwa Mungu.

< ᎪᎵᏂᏗᏱ ᎠᏁᎯ ᏔᎵᏁ ᎨᎪᏪᎳᏁᎸᎯ 2 >