< Y Salmo Sija 32 >

1 DICHOSO y maasie ni y taelayen finatinasña, ya y isaoña matampe.
Zaburi ya Daudi. Funzo. Heri mtu yule ambaye amesamehewa makosa yake, ambaye dhambi zake zimefunikwa.
2 Dichoso y taotao ni y ti jacatgaye si Jeova ni tinaelaye, ni uguaja gui espirituña dinague.
Heri mtu yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi, na ambaye rohoni mwake hamna udanganyifu.
3 Anae mamatquiloyo, y telangjo ninafanbijo, ni y inigongjo todotdia.
Niliponyamaza, mifupa yangu ilichakaa kwa kulia kwa maumivu makali mchana kutwa.
4 Sa y jaane yan y puenge y canaemo macat guiya guajo; ya y finetgonjo mabira para y inanglo gui tiempon maepe. (Sila)
Usiku na mchana mkono wako ulinilemea, nguvu zangu zilinyonywa kama vile katika joto la kiangazi.
5 Y isaojo junatungo jao ya y tinaelayeco ti junaatog; ya ileco: Guajo bae juconfesatñaejon y tinaelayen finatinasso as Jeova; ya jago unasie y taelayen y isaojo. (Sila)
Kisha nilikujulisha dhambi yangu wala sikuficha uovu wangu. Nilisema, “Nitaungama makosa yangu kwa Bwana.” Ndipo uliponisamehe hatia ya dhambi yangu.
6 Sa este nae umatayuyut jao y mandeboto todos gui tiempo anae mojon siña ujasoda: senmagajet anae machuchuda inetnon y janom, ti ufato guiya güiya.
Kwa hiyo kila mtu mcha Mungu akuombe wakati unapopatikana, hakika maji makuu yatakapofurika hayatamfikia yeye.
7 Jago y fanatugco; ya gui chinatsaga jago unadajeyo: ya nu y cantan linibre, jago unoriyayeyo.
Wewe ndiwe mahali pangu pa kujificha, utaniepusha na taabu na kunizunguka kwa nyimbo za wokovu.
8 Junatungo jao ya jufanagüe jao ni y chalan anae jumajanao: jupagat jao nu y atadogco.
Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea; nitakushauri na kukuangalia.
9 Chamo pumarérejo yan y cabayo, pat y mula ni taya tiningoñija: na nesesita y modasa yan y freno para umantiene; yaguin taya estesija ti malago guaguato guiya jago.
Usiwe kama farasi au nyumbu wasio na akili, ambao ni lazima waongozwe kwa lijamu na hatamu la sivyo hawatakukaribia.
10 Megae na triniste para y manaelaye: lao y numaangongoco si Jeova, minaase umoriyayayegüe.
Mtu mwovu ana taabu nyingi, bali upendo usio na kikomo wa Bwana unamzunguka mtu anayemtumaini.
11 Fanmagof as Jeova, ya infansenmagof, O jamyo manunas; ya fanagang ni y minagof, todo y manunas na corason.
Shangilieni katika Bwana na mfurahi, enyi wenye haki! Imbeni, nyote mlio wanyofu wa moyo!

< Y Salmo Sija 32 >