< Y Checho Y Apostoles Sija 3 >

1 SI Pedro yan Juan, dumaña jumanao julo gui guimayuus para ujafanaetae, gui oran a las nuebe.
Siku moja, saa tisa alasiri, Petro na Yohane walikuwa wanakwenda Hekaluni, wakati wa sala.
2 Ya un taotao na coja desde y jalom y tiyan nanaña, ya machuchule, ya mapopolo cada jaane gui pettan y guimayuus, ni y mafanaan Bonita, para ufangagao limosna ni y manjajalom gui guimayuus.
Na pale karibu na mlango wa Hekalu uitwao “Mlango Mzuri”, palikuwa na mtu mmoja, kiwete tangu kuzaliwa. Watu walimbeba huyo mtu kila siku na kumweka hapo ili aombe chochote kwa wale waliokuwa wakiingia Hekaluni.
3 Ya jalie si Pedro yan Juan na jumajalom gui guimayuus, ya jagagao limosna.
Alipowaona Petro na Yohane wakiingia Hekaluni, aliwaomba wampe chochote.
4 Ya inataugüe as Pedro yan Juan, ya ilegñija: Atanjam.
Petro na Yohane walimkodolea macho, naye Petro akamwambia, “Tutazame!”
5 Ya güiya jaecungog sija, yan jananangga na uresibe jafa na güinaja guiya sija.
Naye akawageukia, akitazamia kupata kitu kutoka kwao.
6 Ayo nae si Pedro ilegña: Salape yan oro, tayayo; lao jafa y güinajajo junae jao. Pot y naan Jesucristo Nasareno, cajulo ya unfamocat.
Kisha Petro akamwambia, “Sina fedha wala dhahabu lakini kile nilicho nacho nitakupa. Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, tembea!”
7 Ya jamantiene y agapa na canaeña, ya jajatsa julo; ya enseguidas y adengña yan y telang y bayoguña mumetgot.
Halafu, akamshika mkono wa kulia, akamwinua. Papo hapo miguu na magoti yake yakapata nguvu.
8 Ya güiya tumayog julo, ya tumojgue, ya jatutujon mamocat; ya jumalom yan sija gui jalom y guimayuus, mamomocat yan tumatayog, yan jaalalaba si Yuus;
Akaruka, akasimama na kuanza kutembea. Halafu akaingia pamoja nao Hekaluni, akitembea na kurukaruka huku akimtukuza Mungu.
9 Ya todo y taotao lumie güi na mamomocat, yan jaalalaba si Yuus;
Watu wote waliokuwa hapo walimwona akitembea na kumsifu Mungu.
10 Ya sija matungoja na güiya ayo y matatachong, ni y umogagao limosna gui Bonita na Petta gui guimayuus: ya sija manbula ni y namanman, yan minaañao, ni ayo y jumuyong guiya güiya.
Walipomtambua kuwa ndiye yule aliyekuwa anaombaomba karibu na ule “Mlango Mzuri” wa Hekalu, wakashangaa mno hata wasiweze kuelewa yaliyompata.
11 Ya y anae güiya quinequene as Pedro yan Juan, todo y taotao manmalago ya mandaña guiya sija gui coridot ni y mafanaan Salomon ya dangculo na ninamanmanñija.
Watu wote, wakiwa na mshangao mkubwa wakaanza kukimbilia mahali palipoitwa “Ukumbi wa Solomoni,” ambapo yule mtu alikuwa bado anaandamana na Petro na Yohane.
12 Ya anae si Pedro jalie ayo, jaope y taotao sija ilegña: Taotao Israel, sa jafa na ninafanmanman jamyo ni este? pat jafa na ingueguesatanjam taegüije y pot ninasiñanmameja, pat pot y dinebotonmameja na innafamocat este na taotao?
Basi, Petro alipowaona watu hao akawaambia, “Wananchi wa Israeli, kwa nini mnashangazwa na jambo hili? Mbona mnatukodolea macho kana kwamba ni kwa nguvu zetu au utakatifu wetu sisi wenyewe tumemfanya mtu huyu aweze kutembea?
13 Si Yuus Abraham, yan Ysaac, yan Jacob, y Yuus y tatata ni y janamalago y Tentagoña as Jesus; ni y inentrega yan inpine gui menan Pilatos, anae jadetetmina ya japolo güe na ujanao.
Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo, Mungu wa baba zetu amemtukuza Yesu mtumishi wake. Yeye ndiye yuleyule mliyemtia mikononi mwa wakuu na kumkataa mbele ya Pilato hata baada ya Pilato kuamua kumwacha huru.
14 Lao jamyo inpine Ayo y Santos yan Tunas, yan ingagagao na infanmanae un taotao ni y pegno;
Alikuwa mtakatifu na mwema; lakini ninyi mlimkataa, mkataka mtu mwingine aliyekuwa muuaji afunguliwe.
15 Yan inpino y prinsipen linâlâ, ni y si Yuus janacajulo guinen y manmatae; ni y jame mantestigo.
Basi, mlimuua yule ambaye ni chanzo cha uzima. Lakini Mungu alimfufua, na sisi ni mashahidi wa tukio hilo.
16 Ya y naanña, pot y jinenggue y naanña, janametgot este na taotao ni y liniimiyo, yan y tiningomiyo; junggan, y jinenggue, ni y pot güiya, mannae güe ni este na cabales na jinemlo gui menan miyo todos.
Jina la Yesu na imani katika jina hilo ndivyo vilivyompa nguvu mtu huyu mnayemwona na kumfahamu. Imani kwa Yesu ndiyo iliyomponya kabisa mtu huyu kama mnavyoona nyote.
17 Lao pago, mañelujo, nae jutungo na pot y taya tiningomiyo na infatinas ayo, taegüije y finatinas y magalajenmiyo locue.
“Sasa ndugu zangu, nafahamu kwamba ninyi na wakuu wenu mlitenda hayo kwa sababu ya kutojua kwenu.
18 Lao ayo na güinaja y janamatungo si Yuus antes, pot y pachot todo sija y profeta, na si Cristoña ufamadese, ya taegüije ucumple.
Lakini ndivyo Mungu alivyotimiza yale aliyotangaza zamani kwa njia ya manabii wote, kwamba ilikuwa lazima Kristo wake ateseke.
19 Enaomina fanmañotsot, ya inbira talo jamyo, ya y isaomiyo ufanmafunas, para siña ufato y tiempon y refresco guinen menan Yuus;
Basi, tubuni mkamrudie Mungu ili afute dhambi zenu.
20 Ya para güiya umatago ayo Cristo, ni y esta matancho antes para jamyo; güiya si Jesus.
Fanyeni hivyo ili Bwana awape nyakati za kuburudika rohoni na kuwaletea yule Kristo aliyemteua ambaye ndiye Yesu.
21 Ni y langet nesesita uresibe asta y tiempo sija anae todo y güinaja mannanalo mauleg talo, ni y jasangan si Yuus gui pachot y santos na profetaña sija, ni jagas mangaegue desde qui matutujon y tano. (aiōn g165)
Ni lazima yeye abaki huko mbinguni mpaka utakapofika wakati wa kurekebishwa vitu vyote, kama Mungu alivyosema kwa njia ya manabii wake watakatifu wa tangu zamani. (aiōn g165)
22 Sa magajet na si Moises ilegña: Y Señot Yuus, unacajulo un profeta guiya jamyo, gui entalo mañelunmiyo, taegüine iya guajo; iya guiya nae injingog todo y güinaja ni y mansinangane jamyo.
Kwa maana Mose alisema, Bwana Mungu wenu atawapelekeeni nabii kama mimi kutoka kati yenu ninyi wenyewe.
23 Ya umasusede na todo y ante ni y ti malago umecungog ayo na profeta, umaguefyulang gui entalo y taotao sija.
Yeyote yule ambaye hatamsikiliza nabii huyo atatengwa mbali na watu wa Mungu na kuangamizwa.
24 Magajet na todo sija y profeta desde as Samuel yan ayo sija y manatate, todos ni y manmañangan, taegüine masangan güine sija na jaane.
Manabii wote, kuanzia Samweli na wale waliomfuata, walitangaza habari za mambo haya ambayo yamekuwa yakitendeka siku hizi.
25 Ya jamyo sija y famaguon y profeta sija, yan y trato ni y si Yuus jafatinas gui mañaenata, ilegña as Abraham: Ya y semiyamo nae todo y familia sija gui tano ufanbendise.
Ahadi zile Mungu alizotoa kwa njia ya manabii ni kwa ajili yenu; na mnashiriki lile agano Mungu alilofanya na babu zenu, kama alivyomwambia Abrahamu: Kwa njia ya wazawa wako, jamaa zote za dunia zitabarikiwa.
26 Iya jamyo nae finena, si Yuus, janacajulo y Tentagoña, ya jatago na infanbinendise, ya ubira cada uno guiya jamyo guinin y tinaelayenmiyo.
Basi, ilikuwa kwa ajili yenu kwanza kwamba Mungu alimfufua mtumishi wake, alimtuma awabariki kwa kumfanya kila mmoja wenu aachane kabisa na maovu yake.”

< Y Checho Y Apostoles Sija 3 >