< Битие 9 >

1 В това време Бог благослови Ноя и синовете му, като им каза: Плодете се, размножавайте се и напълнете земята.
Kisha Mungu akambariki Nuhu na wanawe, na kuwaambia, “Zaeni, mkaongezeke, na muijaze nchi.
2 Ще се страхуват и ще треперят от вас всички земни животни и всички въздушни птици; те са всичко, що пълзи по земята и с всички земни риби са предадени в ръцете ви.
Hofu na utisho wenu vitakuwa juu ya kila mnyama aliye hai juu ya nchi, juu ya kila ndege wa angani, juu ya kila kitu kiendacho chini juu ya ardhi, na juu ya samaki wote wa baharini. Vimetolewa katika mikono yenu.
3 Всичко живо, що се движи ще ви бъде за храна; давам ви всичко също, както дадох зелената трева.
Kila kitu kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula kwa ajili yenu. Kama nilivyo wapa mimea, sasa nawapa kila kitu.
4 Месо обаче с живота му, тоест, с кръвта му, да не ядете.
Lakini msile nyama pamoja na uhai wake - yaani damu yake - ndani yake.
5 А вашата кръв, кръвта на живота ви, непременно ще изискам; от всяко животно ще я изискам; и от човека, да! от брата на всеки човек, ще изискам живота на човека.
Lakini kwa ajili ya damu yenu, uhai uliomo katika damu yenu nitataka malipo. Kutoka katika mkono wa kila mnyama nitaitaka. Kutoka katika mkono wa kila mtu, yaani, kutoka katika mkono wa yule ambaye amemuua ndugu yake, nitataka fidia kwa ajili ya uhai wa mtu huyo.
6 Който пролее човешка кръв, и неговата кръв от човек ще се пролее; защото по Своя образ направи Бог човека.
Yeyote amwagaye damu ya mtu, kwa njia ya mtu damu yake itamwagwa, kwa sababu ilikuwa ni katika mfano wa Mungu kwamba Mungu alimuumba mtu.
7 А вие, плодете се и се размножавайте, разплодете се по земята и умножавайте се по нея.
Na hivyo nanyi zaeni na kuongezeka, sambaeni katika inchi yote na muongezeke juu yake.”
8 После Бог говори на Ноя и на синовете му с него, казвайки:
Kisha Mungu akazungumza na Nuhu na wanae pamoja naye, akisema,
9 Вижте, Аз поставям завета Си с вас и с потомството ви подир вас;
“Kwa ajili yangu, sikiliza! Ninakwenda kulithibitisha agano langu pamoja nawe na uzao wenu baada yenu,
10 и всичко живо, що е с вас, - птиците, добитъкът и всичките земни животни, които са с вас, да! с всяко земно животно от всичко, което е излязло от ковчега.
na kwa kila kiumbe hai kilicho pamoja nawe, pamoja na ndege, mnyama wa kufugwa, na kila kiumbe cha nchi pamoja nawe, kuanzia kwa wote waliotoka kwenye safina, mpaka kwa kila kiumbe hai juu ya nchi.
11 Поставям завета Си с вас, че няма да се изтреби вече никоя твар от водите на потопа, нито ще настане вече потоп да опустоши земята.
Kwa sababu hii ninalithibitisha agano langu pamoja nanyi, kwamba hapatatokea kuangamizwa kwa mwenye mwili kwa njia ya maji ya gharika. Tena hapatatokea gharika ya kuangamiza nchi.”
12 Бог рече още: Ето белегът на завета, който Аз поставям до вечни поколения между Мене и вас и всичко живо, което е с вас:
Mungu akasema, “na hii ndiyo ishara ya agano ambalo ninafanya kati yangu na ninyi pamoja na kila kiumbe hai kilicho pamoja nanyi, kwa vizazi vyote vya baadaye:
13 поставям дъгата Си в облака, и тя ще бъде белег на завет между Мене и земята.
Nimeweka upinde wangu wa mvua katika wingu, na itakuwa ndiyo ishara ya agano kati yangu na nchi.
14 Когато докарам облак на земята, дъгата ще се яви в облака:
Hata itakuwa nitakapoleta wingu juu ya nchi na upinde wa mvua ukaonekana katika wingu,
15 и ще спомня завета Си, който е между мене и вас и всичко живо от всяка твар; и водата няма вече да стане потоп за изтреблението на всяка твар.
ndipo nitakumbuka agano langu, ambalo ni kati yangu na ninyi na kila kiumbe hai cha wote mwenye mwili. Maji hayatafanyika tena gharika kuharibu wote wenye mwili.
16 Дъгата ще бъде в облака: и ще я гледам, за да си напомням всегдашния завет между Бога и всичко живо от всяка твар, което е на земята.
Upinde wa mvua utakuwa katika mawingu na nitauona, ili kukumbuka agano la milele kati ya Mungu na kila kiumbe hai cha wote wenye mwili ambacho kiko juu ya nchi.”
17 Каза Бог на Ноя: Това е белегът на завета, който установих между мене и всяка твар, която е на земята.
Kisha Mungu akamwambia Nuhu, “Hii ni ishara ya agano ambalo nimelithibitisha kati yangu na wenye mwili wote ambao wako juu ya nchi.”
18 А излезлите от ковчега Ноеви синове бяха Сим, Хам и Яфет; а Хам беше баща на Ханаана.
Wana wa Nuhu ambao walitoka katika safina walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi. Na Hamu akamzaa kanaani.
19 Тия трима бяха Ноевите синове; и от тях се насели цялата земя.
Watatu hawa walikuwa ndio wana wa Nuhu, na kutokea kwa hawa nchi yote ikajaa watu.
20 В това време Ной почна да работи земята и насади лозе.
Nuhu akaanza kuwa mkulima, na akapanda mizabibu.
21 като пи от виното опи се и се разголи в шатрата си.
Akanywa sehemu ya divai na akalewa. Akawa amelala hemeani uchi.
22 И Хам, Ханаановия баща, видя голотата на баща си и каза на двамата си братя отвън.
Kisha Hamu, baba yake na Kanaani, akaona uchi wa baba yake na akawaambia ndugu zake wawili waliokuwa nje.
23 А Сим и Яфет взеха една дреха и, като я туриха двамата на рамената си, пристъпиха заднишком та покриха голотата на баща си; лицата им гледаха назад, та не видяха бащината си голота.
Kwa hiyo Shemu na Yafethi wakachukua kanzu wakaitanda juu ya mabega yao, na wakatembea kinyumenyume na wakaufunika uchi wa baba yao. Nyuso zao zikiwa zimegeuka nyuma upande mwingine, kwa hiyo hawakuona uchi wa baba yao.
24 Като изтрезня Ной от виното си и се научи за онова, което му бе направил по-младият ме син, рече:
Nuhu alipozinduka kutoka katika ulevi wake, alijua ni jambo gani mtoto wake mdogo amemfanyia.
25 Проклет да е Ханаан; Слуга на слуги ще бъде на братята си.
Hivyo akasema, “Alaaniwe Kanaani. Na awe mtumishi kwa watumishi wa ndugu zake.”
26 Рече още: Благословен Господ, Симовия Бог; И Ханаан да му бъде слуга.
Akasema pia, Yahwe, Mungu wa Shemu, abarikiwe, Kanaani na awe mtumwa wake.
27 Бог да разшири Яфета. И да се засели в шатрите на Сима; И Ханаан да им бъде слуга.
Mungu na apanuwe mipaka ya Yafethi, na afanye makazi yake katika hema za Shemu. Kanaani na awe mtumwa wake.”
28 И след потопа Ной живя триста и петдесет години.
Baada ya gharika, Nuhu aliishi miaka miatatu na hamsini.
29 И всичките дни на Ноя станаха деветстотин и петдесет години; и умря.
Siku zote za Nuhu zilikuwa ni miaka mia tisa na hamsini, na kisha alikufa.

< Битие 9 >