< Yohans Dooshishiyo 17 >

1 Iyesus han b́ keewiyakon daromaants b́ tooko tuzdek't s'iilfetst hank'owa bíet, «Nihono! hamb, sa'ato bodre, n naay neen b́ mangiytwok'o n na'o mangiwe,
Yesu aliyasema mambo haya; kisha akainua macho yake kuelelea mbinguni na akasema, “Baba, saa imewadia; mtukuze mwanao ili na mwana naye akutukuze wewe -
2 Ni imts jamwotssh dúre dúri kasho b́ imetwok'o ash jamwotsatse alo n imtsoshe. (aiōnios g166)
kama vile ulivyompatia mamlaka juu ya vyote vyenye mwili ili awape uzima wa milele wale wote uliompatia. (aiōnios g166)
3 Dúre dúri kashonwere n s'uzi ari Ik'o Izar Izewernat n woshtso Iyesus Krstosi danoniye. (aiōnios g166)
Huu ndio uzima wa milele: kwamba wakujue wewe, Mungu wa kweli na wa pekee, na yeye uliyemtuma, Yesu Kristo. (aiōnios g166)
4 Taa taash n'imts fino s'eentsat datsanatse neen mangire.
Nilikutukuza hapa duniani, na kuikamilisha kazi uliyonipa niifanye.
5 Nihono! datsan bíazeftsere niyoke t detsts mangon taan andoor niyoke mangiwe.
Sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja na wewe mwenyewe kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja na wewe kabla ya ulimwengu kuumbwa.
6 «Datsanatse gaaldek'at taash n imts ashuwotssh koni nwotok'o kitsre, booye niknee boteshi, neehe boon taash imrne, boowere ni aap'o kotdek'rne,
Nililifunua jina lako kwa watu ulionipa hapa duniani. Walikuwa watu wako; lakini ulinikabidhi mimi. nao wamelishika neno lako.
7 Taash nímts jamo niyokik b́ wottsok'o bo and danrnee.
Sasa wanajua kuwa kila kitu ulichonipa mimi kinatoka kwako,
8 Taash nimts aap'wotsi boosh imre, boowere t keewre k'ebdek'rne, niyoke keshat twaatsok'onowere arikon danrnee, nee taan n woshtsok'onowere amanernee.
kwa maneno yale uliyonipatia mimi— Nimekwisha wapatia wao maneno hayo. Waliyapokea na kweli wakajua ya kuwa mimi nimetoka kwako, na wakaamini kuwa wewe ndiye uliyenituma.
9 «Taa tk'onir bo jangoshe, taash nimtsanots nik bowottsotse bo jangosh k'onirwe, datsush k'onratse.
Ninawaombea wao. Siuombei ulimwaengu bali wale ulionipa kwa kuwa wao ni wako.
10 Tik wotts jamo nike, nik wottsonwere tikee, taawere boatse tuutson mangree.
Vitu vyote ambavyo ni vyangu ni vyako, na vile ulivyonavyo wewe ni vyangu; nami ninatukuzwa katika hivyo.
11 Taa haniyakon datsanatse beeratse, bomó datsanatsikne. Taaye nmaants twooniyee, S'ayin nihono taash n'imtsanots nokok'o ik bowotishe taash n'imts nshúútson boon kore.
Mimi simo tena ulimwenguni, bali wao wamo ulimwenguni, nami sasa naja kwako. Baba Mtakatifu, watunze kwa jina lako lile ulilonipa sisi ili wao nao wawe na umoja, kama vile mimi na wewe tulivyo na umoja.
12 Taa bonton t teshor taash nimts n shúútson boon kotre, taahe boon kotre, mansh mas'aaf S'aynotsitsi aap'etso b́ s'eenetwok'o t'afi na'oniye oko konwor boyitse t'aftso aaliye.
Nilipokuwa nao, niliwalinda kwa jina ulilonipa; Niliwalinda, na hakuna hata mmoja wao aliyepotea isipokuwa mwana wa upotevu, ili kwamba maandiko yatimie.
13 And taa n maants t wooniye, datsatse befetsat han boosh t keewir t gene'o boon s'een b́wotitwok'owe.
Sasa ninakuja kwako; lakini ninasema haya ulimwenguni ili kwamba furaha yangu ikamilishwe ndani yao wenyewe.
14 Taa ni aap'o boosh imre, taa datsanatsik wottk'ztsok'o boworu datsatsiknaliye, manshe datsan boon b́ shit'i.
Nimewapa neno lako; ulimwengu imewachukia kwa sababu wao si wa ulimwengu, kama vile mimi nisivyokuwa wa ulimwengu
15 Gondatse boon n k'otetwok'owa bako datsatse boon n dek'etwok'o neen k'onratse.
Siwaombei kwamba uwatoe ulimwenguni bali uwalinde na yule mwovu.
16 Taa datsatsik t woterawok'o boowere datsatsiknaliy.
Wao si wa dunia kama vile mimi nisivyokuwa wa ulimwenguni.
17 Aron boon S'ayntswe, ni aap'onu aree.
Uwaweke wakfu kwako mwenyewe katika Kweli; neno lako ndiyo kweli.
18 Nee taan datsan maants n woshtsok'o taa boon datsan maants woshere.
Ulinituma ulimwenguni, nami nimewatuma ulimwenguni.
19 Bo arikon S'ayn bowotitwok'o taa bo jangosh t tooko S'ayin woshitwe.
Kwa ajili yao mimi mwenyewe ninajitoa kwako ili kwamba na wao wajitoe kwako kwa ile kweli.
20 «Bo aap'o k'ebdek't taan amaniru jamwotssha tk'oniri bako, bos'uzsh k'onratse.
Si hawa tu ninaowaombea, bali na wale watakaoamini kupitia neno lao
21 Taawere t k'onir jametswots ik bowotitwok'we, andoor nihono! nee tiitse nbeyok'o taawere niatse t fa'ok'o, boowere noon bobetwok'o, nee taan nwoshtsok'o datsan b́ amanitwok'owe.
ili kwamba wao nao wawe na umoja, kama vila wewe Baba, ulivyo ndani yangu nami ndani yako. Nawaombea ili kwamba wao pia waweze kuwa ndani yetu ili ulimwengu uweze kuamini kuwa wewe ndiye uliyenituma.
22 Noo ik nowottsok'o boowere ik bowotitwok'o, taash n imts mango boosh imre.
Utukufu ule ulionipa mimi - nimewapa wao, ili kwamba waweze kuwa na umoja, kama vile sisi tulivyo umoja -
23 Taa t k'onirwo taa boon neewere taan n wottsok'o boowere b́ jamon ik bowotitwok'owe. Mank'owere taan nwoshtsok'onat taan nshuntsok'on bonowere nshuntsok'o datso b́danishe.
Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili waweze kukamilishwa katika umoja; ili ulimwengu ujue kuwa hakika wewe ndiye uliyenituma, na kuwapenda, kama vile wewe ulivyonipenda, mimi.
24 «Nihono! Datsan bíazeftsere taan nshuntsotse taash n'imts mango bobek'etwok'o taash n ímtsanotswere taa t beyoke taanton bo beyo shunfee.
Baba, kile ulichonipa mimi - Natamani kwamba wao pia waweze kuwa pamoja nami mahali nilipo ili waweze kuona utukufu wangu, ule ulionipa: kwa kuwa wewe ulinipenda mimi kabla ya kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu.
25 S'ayin nihono! datso neen danatse, taamó neen danfee, hanotswere taan nee n woshtsok'o danrnee.
Baba mwenye haki, ulimwengu haukukujua wewe, lakini mimi nakujua wewe; na wanajua kwamba ulinituma.
26 Taan nshunts shuno booke b́betwok'o taawere boats twotitwok'o, boowere neen bodanetwok'o woshre, ando aani bodanetwok'o woshitwe.»
Nililifanya jina lako lijulikane kwao, na nitalifanya lijulikane ili kwamba lile pendo ambalo kwalo ulinipenda mimi liweze kuwa ndani yao, na mimi niweze kuwa ndani yao.”

< Yohans Dooshishiyo 17 >