< Efeson 2 >

1 It it daadonat it morri jangosh it shayiri beyon k'irk itne it teshi,
Kama vile mlivyo kuwa mmekufa katika makosa na dhambi zenu.
2 Manoor datsanatsi gond sha'ok'owa it sha'efoni, aaninwere jongatse fa'a shayiri angwotsi keewirwosha it alefoni, bíwere and azazeraw ashuwotsatse finiru kim shayironiye. (aiōn g165)
Ilikuwa katika haya kwamba kwanza mlienenda kulingana na nyakati za ulimwengu huu. Mlikuwa mkienenda kwa kufuata mtawala wa mamlaka ya anga. Hii ndiyo roho yake yule afanyaye kazi katika wana wa kuasi. (aiōn g165)
3 Nó jametswere haniye shinon bo dagotse no meets shunok'onat no maac' gawirwo shoydek'at sha'at no meets tewnok'o beyaatniye no teshi, k'oshwotskok'o no azeewon Ik' fayi shirotsne noteshi.
Sisi wote hapo mwanzo tulikuwa miongoni mwa hawa wasioamini. Tulikuwa tukitenda kwa namna ya tamaa mbaya za miili yetu. Tulikuwa tukifanya mapenzi ya mwili na ufahamu wetu. Tulikuwa kwa asili wana wa ghadhabu kama wengine.
4 Ernmó Ik' maac' k'ewo ay b́ wottsonat noosh b́ detsts shuno een b́ wottsatse tuutson,
Lakini Mungu ni mwingi wa rehema kwa sababu ya pendo lake kubwa alilotupenda sisi.
5 No morron k'irk nowotiyaloru Ik'o Krstosnton kashetswotsi no wotitwok'o woshre, it kashwere b́ s'aatone.
Wakati tulipokuwa wafu katika makosa yetu, alituleta pamoja katika maisha mapya ndani ya Kristo. Ni kwa neema kwamba mmeokolewa.
6 Ik'o Iyesus Krstosnton k'irotse tuuzt daritsi beyokoke bínton noon b́beezi.
Mungu alitufufua pamoja na kutufanya kukaa pamoja katika mahali pa mbingu ndani ya Kristo Yesu.
7 Han b́k'alwere Krstos Iyesusn noosh k'eshdek't b́kiitsts doowonat bínton nutsiyetwo deshawo s'aati gaalo weet dúrwotsitse noosh kitsosha etniye. (aiōn g165)
Alifanya hivi ili katika nyakati zijazo aweze kutuonesha utajiri mkuu wa neema yake. Hutuonesha sisi hili kwa njia ya wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn g165)
8 It it kash imneti weeron wotts s'aatone, manwere Ik' ima bako itokikaliye.
Kwa neema mmeokolewa kwa njia ya imani. Na hii haikutoka kwetu. Ni zawadi ya Mungu.
9 Konwor asho b́ id'aawok'owa, kashiyit s'aato b́daatse finonaliye,
Haitokani na matendo. Matokeo yake, asiwepo mmoja wapo wa kujisifu.
10 Noo Ik'o bal b́k'anits sheengo finefetsr nobetuwok'o Krstos Iyesus weeron aaniyi azeets Ik'i aztswots noone.
Kwa sababu sisi tu kazi ya Mungu, tumeumbwa katika Kristo Yesu kutenda matendo mema. Ni matendo haya ambayo Mungu aliyapanga tangu zamani za kale kwa ajili yetu, ili tutembee katika hayo.
11 Mansh eshe, bal it shwewon Ik'i ash woterawwotsi it teshtsok'o, Ayhdiwots ash kishon gofo boamtsosh it'fetst itsh gof amawwotsi ett boc'ashfok'o,
Kwa hiyo kumbukeni kwamba hapo zamani mlikuwa watu wa Mataifa kwa jinsi ya mwili. Mnaitwa “msio na tohara” kwa kile kinachoitwa tohara ya mwili inayofanywa kwa mikono ya binadamu.
12 it Israe'el ashuwotsnton gonke deshawwots, Ik'o bí ashuwotssh b́jangitswtsats need'iyets aap'i taarwotssho ib wottswots, datsanatsnowere it jangiru ik keewalonat Ik'alon beyirwots, manorowere Krstosatse wokat it teshtsok'o gawde'ere.
Kwa wakati huo mlikuwa mmetengwa na Kristo. Mlikuwa wageni kwa watu wa Israel. Mlikuwa wageni kwa agano la ahadi. Hamkuwa na uhakika wa wakati ujao. Mlikuwa bila Mungu katika ulimwengiu.
13 Andmó it haniyere shin wokat teshtswots Krstos Iyesusn wotdek'at b́s'atson t'inrte.
Lakini sasa katika Kristo Yesu ninyi ambao hapo mwanzo mlikuwa mbali na Mungu mmeletwa karibu na Mungu kwa damu ya Kristo.
14 Noon k'ált teshtso fayi girgido b́meetson gáákt Ayhdiwotsnat Ik'i ash woterawwotsn ik woshtso nojeeno Krstosiye.
Kwa maana yeye ndiye amani yetu. Alifanya wawili kuwa mmoja. Kwa mwili wake aliuharibu ukuta wa utengano ambao ulikuwa umetutenganisha, huo uadui.
15 Git jirmanotsitse bínton ikwotitwo ik handr asho azosh Muse nemi tzaziyonat b́ niwwotsi gaakt jeeno b́woshi.
Kwamba alikomesha sheria ya amri na kanuni ili kwamba aumbe mtu mmoja mpya ndani yake. Akafanya amani.
16 Mask'aliyatse k'irtnwere s'aaleyar beyo k'aaúbazre, gitetswtsnowere ik atso woshdek't Ik'onton maniree.
Alifanya hivi ili kuwapatanisha makundi mawili ya watu kuwa mwili mmoja kwa Mungu kupitia msalaba. Kwa njia ya msalaba aliufisha uadui.
17 Waatnwere, wokat teshtswotssh itnat karnt teshts ayhudiwotsshowere jeen dooshiy aap'o nabre.
Yesu alikuja na kutangaza amani kwenu ninyi mliokuwa mbali na amani kwao wale waliokuwa karibu.
18 Bíyatse tuutson no gitetswor ik shayiron jisheyr nihok t'inetwone.
Kwa maana kwa njia ya Yesu sisi wote wawili tuna nafasi kwa yule Roho mmoja kuingia kwa Baba.
19 Mansh eshe it S'ayinwotsnton ik datsi ashuwotsnat Ik'i maa ashuwots itna bako haniyere okoon ibonat ashdatsi ashuwots itnaliye.
Hivyo basi, ninyi watu wa mataifa si wasafiri na wageni tena. Bali ni wenyeji pamoja na wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu na wajumbe katika nyumba ya Mungu.
20 Woshetswotsnat nebiywotsn need'itsats agerte, ageyiru maamansh tungúshatse shutswotse kaatsde detset shúts kup'o Iyesus Krstosiye.
Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii. Kristo Yesu mwenyewe alikuwa jiwe kuu la pembeni.
21 Maa eenmanu b́ jamon bín ikok desheyarr doonzo S'ayin Ik' moo wotarr eenetwe.
Katika yeye jengo lote limeungamanishwa pamoja na kukua kama hekalu ndani ya Bwana.
22 Ik'o b́ shayiron bíts b́ beet moo wotosh itwere Krstosn tohaar ageetute.
Ni ndani yake ninyi nanyi mnajengwa pamoja kama mahali pa kuishi pa Mungu katika Roho.

< Efeson 2 >