< Titus 2 >

1 Bara nani febele ilemon iyina nin ti pipin ticine.
Lakini wewe unapaswa kuhubiri mafundisho safi.
2 Anit akune suu anan kifuu batiitikune anan yenju upi, uyinu sa uyenua anan suu, nin nanan ciu nayi.
Waambie wazee kwamba wanapaswa kuwa na kiasi, wawe na busara na wataratibu; wanapaswa kuwa timamu katika imani yao, upendo na uvumilivu.
3 Awani akune inin wang nanere iso anan nakpinati, na anan kubelin ba. Naniwa suu acin kitin nssu turo b. Na idursuzo ilemong na idi gigime
Hali kadhalika waambie wanawake wazee wawe na mwenendo wa uchaji wa Mungu; wasiwe wachongezi, au watumwa wa pombe. Wanapaswa kufundisha mambo mema,
4 bara ina taa awni abebene isu dert nanya kpilzu mer, iti nani likara nibinai iti usuu nales mine nang nono isoo anang yeju ipiit.
ili wawazoeze kina mama vijana kuwapenda waume zao na watoto,
5 Nlau anang lisosin licine ndarrti isau anan nanku nati nin nales mine bara uliru Kutelle wa so imong infillu
wawe na kiasi na safi, waangalie vizuri mambo ya nyumbani, na wawatii waume zao, ili ujumbe wa Mungu usije ukadharauliwa.
6 Nanere tutung beleng azamane iso anan kpilzunupiit.
Kadhalika, wahimize vijana wawe na kiasi.
7 nanya nimong vat durum atee mine nafo anan katwa ka cine; iwa dursuzu durung nlau durung tikune, nin tigbulang tine tin salin yenu.
Katika mambo yote wewe mwenyewe unapaswa kuwa mfano wa matendo mema. Uwe mnyofu na uwe na uzito katika mafundisho yako.
8 Belen pipinghe tuu na ti na so sa ukye, bara tina soo nin cin kitene nle na aba tifi mayarda, bara nani na imenmun inanzan duku na iba benlu nati bite ba.
Maneno yako yasiwe na hitilafu yoyote ili adui zako waaibike wasipopata chochote kibaya cha kusema juu yetu.
9 Acin ba suu unaku nati kit nacinilarimine idertin inan poo nani nibina, na iwa sa mayardan nan ghinu ba.
Watumwa wanapaswa kuwatii wakuu wao na kuwapendeza katika mambo yote. Wasibishane nao,
10 Na iwa su nani likiri b, bara nani na idursu nni uyinu sa uyen, bara inan taa udursuzu bite mbelen Kutelle unan tucu bite kuna niyizi nanya tibau vat.
au kuiba vitu vyao. Badala yake wanapaswa kuonyesha kwamba wao ni wema na waaminifu daima, ili, kwa matendo yao yote, wayapatie sifa njema mafundisho juu ya Mungu, Mwokozi wetu.
11 Iyen, ubolu Kutelle na uma dak nin tucu udu nanit vat.
Maana neema ya Mungu imedhihirishwa kwa ajili ya wokovu wa watu wote.
12 Unin dursuzu nani ti nari imon inanzang nin kunanizi nimun iyi ti suu anan kujijin, anit alau nin libau Kutelle nanya ku kuje. (aiōn g165)
Neema hiyo yatufunza kuachana na uovu wote na tamaa za kidunia; tuwe na kiasi, tuishi maisha adili na ya kumcha Mungu katika ulimwengu huu wa sasa, (aiōn g165)
13 Na ti din ncaa ti saru nin nayi aboo dak ngongon udiya Kutelle bit nin Yesu Kristi unan tucu.
tukiwa tunangojea siku ile ya heri tunayoitumainia, wakati utakapotokea utukufu wa Mungu Mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo.
14 Yesu wa ni liti mee bara arik tinan se ulau kusain nuzu na lapibit tinin soo lau kitime, alena a ceu nibinai nsu nimon icine
Yeye alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu ili atukomboe kutoka katika uovu wote na kutufanya watu safi walio wake yeye mwenyewe, watu walio na hamu ya kutenda mema.
15 Beleng ni likara kibinai ni le mone nin te nke nin tigoo vat na imong wa nari minu ba.
Basi, fundisha mambo hayo na tumia mamlaka yako yote ukiwahimiza na kuwaonya wasikilizaji wako. Mtu yeyote na asikudharau.

< Titus 2 >