< Uruyan Yuhana 9 >

1 Itunna gono kadura kan taune wulsuno kulan tun me. In yene fiyini na fi deo kutyen unuzu kitene kani. I wa ni fiyini imoon pumi kibulung kuu kucomcom kun sali ligang. (Abyssos g12)
Kisha malaika wa tano alipiga tarumbeta yake. Niliona nyota kutoka mbinguni iliyokuwa imeanguka kwenye dunia. Nyota ilipewa ufunguo wa shimo linaloelekea kwenye shimo lisilo na mwisho. (Abyssos g12)
2 A puno kuu ku comcom ku sali liganghe, libut ncin nuzu nan kuu kusali liganghe nafo ncin mongo na mi nuzu nan nya nla libut nakunti. Uwui nin niyini ta leibit bara ngutunu ncin mone nan nya kuu kone. (Abyssos g12)
Alifungua shimo lisilo na kikomo, na moshi ukapanda juu kwa safu kutoka ndani ya shimo kama moshi kutoka katika tanuru kubwa. Jua na anga vilibadilika vikawa giza kwa sababu ya moshi uliotoka shimoni. (Abyssos g12)
3 Nan nya ncighe ficin nuzu nan nya udu uyii, iwa ni nani timung nafo tin ninan kitene in yie.
Ndani ya moshi nzige walitoka kuja juu ya dunia, nao walipewa nguvu kama ile ya nge juu ya dunia.
4 Iwa belin nani na iwa lanza ukpi kutyene sa imomong ishifii sa kuca ba, se alenge cas na iwa di nin kulap Kutelle ni tin mine ba.
Waliambiwa kutokudhuru majani katika nchi au mmea wowote wa kijani au mti, isipokuwa tu watu ambao hawakuwa na muhuri wa Mungu katika paji za nyuso zao.
5 Na iwa yinnin nani imolsu anite ba, ama iyoani udu tipui ti tauna. Ukonu mine ma yittu nafo timun finang na fi wa tii.
Hawakupewa ruhusa ya kuwaua hao watu, bali kuwatesa tu kwa miezi mitano. Uchungu wao ulikuwa kama ule wa kuumwa na nge amwumapo mtu.
6 Nan nya nayiri ane anit ma piziru ukul, ama na ima se ba, ima yittu nin sun woru i wadi imal kuzu, ukule na cun nani.
Katika siku hizo watu watatafuta kifo, lakini hawatakipata. Watatamani kufa, lakini kifo kitawakimbia.
7 Ficinghe masin nafo nibark nanga na ikyele nani udu likum. Nitin mine imonmong diku nafo titappa nizinariya a timoro mine nafo timuro nani asurne.
Nzige walifanana na farasi walioandaliwa kwa vita. Kwenye vichwa vyao kulikuwa na kitu kama taji ya dhahabu na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.
8 Titi mine nafo tin nawani, a ayini mine nafo an ku pwi.
Walikuwa na nywele kama za wanawake na meno yao yalikuwa kama ya simba.
9 Iwa di nin nimon kessuzu nigiri nafo nnikoro, a kuculu nagilit mine nafo kuchulu nakparkatu nibark ucindu likum.
Walikuwa na vifua kama vifua vya chuma na sauti ya mabawa yao ilikuwa kama sauti ya magari mengi ya vita na farasi wakimbiao kwenda vitani.
10 Idi nin tidu tuzu nafo ato ninang; tiduewe dinin na gang lanzu nanit tikul udui tipuei ti taun.
Walikuwa na mikia inayouma kama nge; katika mikia yao walikuwa na nguvu ya kudhuru watu kwa miezi mitano.
11 Idi nin mong nafo Ugo mine nafo gono kadura unan kuu kucomcom kun sali igang. Lisa me nin ti Ibrananie idin yicighe Abaddon, a Hiliniawe yicaghe Apollyon. (Abyssos g12)
Walikuwa naye kama mfalme juu yao malaika wa shimo lisilokuwa na mwisho. Jina lake katika Kiebrania ni Abadoni, na katika Kiyunani ana jina Apolioni. (Abyssos g12)
12 Uneu ncizunghe kata. Yenjen! yenjen uimoin ipazaza iba din cinu tutung.
Ole ya kwanza imepita. Angalia! Baada ya hili kuna maafa mawili yaja.
13 Gono kadura kan tocine wulsuno kulantung me, nmini wa lanza liwui nnuzu nan nya liwulu fizinariya kitene nbagade nbun Kutelle.
Malaika wa sita alipiga tarumbeta yake, na nikasikia sauti ikitoka katika pembe ya madhabahu ya dhahabu ambayo iko mbele za Mungu.
14 Liwuiye woro ngono kadura Kutelle na awa min Kulantunghe, a woro, “Suna nono kadura ninasse na i terin nan nya kurawan Afaratis.”
Sauti ilimwambia malaika wa sita aliyekuwa na tarumbeta, “Waachie malaika wanne ambao wamefungwa katika mto mkubwa Efrata.”
15 Nono kadura ni nasse na iwa malu uciu nani bara koni kube, lilone, npui une, likus lone, iwa sun nani imolu nkashi utat nanit asurne.
Malaika wale wanne waliokuwa wameandaliwa kwa saa hiyo maalumu, siku hiyo, mwezi huo, na mwaka huo, waliachiwa wawaue theluthi ya wanadamu.
16 Ngbardang na nan likum alenge na iwa di kitene ni bark wa duru amui akalt akut aba. Nwa lanza ngbardang mine.
Idadi ya maaskari waliokuwa juu ya farasi ilikuwa 200, 000, 000. Nilisikia idadi yao.
17 Nanere nwa yene nibarke nan nya namoro nwui nighe nin na lenge na iwa di kitene nibarke. Imong kesuzu nigiri mine wa shigizin, mein bula nin mien tilung. Ati nibarke wa di nafo ati na zakki, nya tinu mine ula wa nucu ku, ncin a ulon nla.
Hivi ndivyo nilivyoona farasi katika maono yangu na wale waliopanda juu yao: Vifua vyao vilikuwa vyekundu kama moto, bluu iliyoiva na njano isiyoiva. Vichwa vya farasi vilifanana na vichwa vya simba, na midomoni mwao ulitoka moto, moshi na salfa.
18 Uwusu ntat na nite wa kuzu nin na naleli aluban ntate: ule, ncing a ulon nle na uwa nucu nan nya tinuu mine.
Theluthi ya wanadamu waliuawa na haya mapigo matatu: moto, moshi, na salfa iliyotoka katika midomo yao.
19 Bara akara nibarke wadi nan nya tinnu a tidu mine, bara tidu mine wa di nafo iyii, iwa di nin nati na iwa lanza anit ukul mung.
Kwa kuwa nguvu ya farasi ilikuwa katika midomo yao na katika mikia yao—kwa kuwa mikia yao ilikuwa kama nyoka, na walikuwa na vichwa ambavyo walitumia kuwatia majeraha wanadamu.
20 Ngissin nani asurne, alenge na iwa molu nani na alube ba, a na iwa sun usu nagbergenu usajada nin ticil nizinariya, azurfa, fikoro fi shine, litala, nin cil kuca, imon ile na iwa sa iyene kiti ba, ilanza ba, sa icina ba.
Watu waliobaki, wale ambao walikuwa hawajauawa na mapigo haya, hawakutubia matendo yao waliyokuwa wamefanya, wala hawakuacha kuabudu mapepo na miungu ya dhahabu, fedha, shaba, mawe na miti—vitu ambavyo haviwezi kuona, kusikia au kutembea.
21 A na iwa sun alapi nmolsu nanit ba, iwu mine, sa ipiru na wani mine sa adu likiri mine.
Wala hawakutubia uuaji wao, uchawi wao, uasherati wao au njia zao za wizi.

< Uruyan Yuhana 9 >