< Uruyan Yuhana 6 >

1 Men yene kubi ko na Kukam npuno utursu kuzor, nlanza umon na nya ninawa tene nlai woro nin liwui na liwadi nafo ututuzo, “Da!”
Nikatazama wakati mwanakondoo alipofungua moja ya zile muhuri saba, nikasikia mmoja wa wale wenye uhai wanne akisema kwa sauti iliyofanana na radi, “Njoo!”
2 Men yene kabarak kaboo, unan nkowe wa min utah, inani wa nighe litapa tigo. A nuzu nafo unan li likum na le likum.
Nikatazama na palikuwa na farasi mweupe! Aliyempanda alikuwa na bakuli, na akapewa taji. Alitokea kama mshindi ashindaye ili ashinde.
3 Ku kame puno utursu unbe, nlanza finawa fin nbe woro, “Da!”
Wakati mwanakondoo alipofungua muhuri wa pili, nikasikia mwenye uhai wa pili akisema, “Njoo!”
4 Kan kabarik nuzu kashine ka din zue kiti. Iwa yininghe akalla nsheu nayi nan nya inye, bara anite nan molso atimine. Uwa in unan kabarak ko sangali ku dia.
Kisha farasi mwingine akatokea - mwekundu kama moto. Aliye mpanda alipewa ruhusa ya kuondoa amani duniani, ili kwamba watu wachinjane. Huyu aliye mpanda alipewa upanga mkubwa.
5 Kubi na kuzara npuno utursu un tatte, nlanza makeke nlai un tatte nworo, “Da!” Nyene kabarak kasirne, unan nko we wa min kuwatan ncara mye.
Wakati mwanakondoo alipofungua ule muhuri wa tatu, nikasikia mwenye uhai wa tatu akisema, “Njoo!” Nikaona farasi mweusi, na aliyempanda ana mizani mkononi mwake.
6 Nlanza imomon nafo liwui nan nya makeke nlai nanase woro, “Kuyanga alkama ba yitu fisulei, ayanga attat tutun fisulei. Na uwa nanza nnuf nin nmyen narau ba.”
Nikasikia sauti iliyoonekana kuwa ya mmoja wa wale wenye uhai ikisema, “kibaba cha ngano kwa dinari moja na vibaba vitatu vya shayiri kwa dinari moja. Lakini usiyadhuru mafuta na divai.”
7 Kubi na kuzara npuno utursu un nase makeke man nase woor, “Da!”
Wakati mwanakondoo alipofungua muhuri ya nne, nilisikia sauti ya mwenye uhai wa nne ikisema, “Njoo!”
8 Nyene kabarak ka naki di pom. Unan nko kanin lisa mye likul, iwa nighe likara kitene nimon inas nan nya inye, a mollu inin nin liyop, kukpon, ukonu, nin ninawa kusho nan nya inye. (Hadēs g86)
Kisha nikaona farasi wa kijivu. Aliye mpanda aliitwa jina lake mauti, na kuzimu ilikuwa ikimfuata. Walipewa mamlaka juu ya robo ya nchi, kuua kwa upanga, kwa njaa na kwa ugonjwa, na kwa wanyama wa mwitu katika nchi. (Hadēs g86)
9 Kubi na kuzare npuno utursu un tau, nyene kadas nbagadi nidowo nalenge na iwa mollu nani bara ligbulang kutelle nin shaida mine na iwa min nin liwui lirum.
Wakati mwanakondoo alipofungua muhuri ya tano, niliona chini ya madhabahu roho za wale waliokuwa wameuawa kwa sababu ya neno la Mungu na kutokana na ushuhuda walioushika kwa uthabiti.
10 Inung su kuculu nin liwui kang, “Udu nin shiyari iba su tigo kitene bite vat, nlau nin kidegen, se uwucu kidegenkidegen nalenge na isosin nan nya inye, se ubiya nmyi bite?”
Wakalia kwa sauti kuu, “mpaka lini, Mtawala wa vyote, mtakatifu na mkweli, utahukumu wakaao juu ya nchi, na kulipiza kisasi damu yetu?”
11 Vat mine iwa ni ko ghaku ushot uboo, ibelle nani au icica baat, se ise ukulunu nadon licin mine, nuana mine ni lime nan nishono nda duru, alenge na iba mollu nani, nafo na ina malu umolu nani.
Kisha kila mmoja alipewa kanzu nyeupe na wakaambiwa kuwa wanapaswa kusubiri kidogo hata itakapotimia hesabu kamili ya watumishi wenzao na ndugu zao wa kike na wa kiume itakapotimia ambao watauawa, kama vile ambavyo wao waliuawa.
12 Kubi na kuzara npuno utursu un tocine, na nwadi ncawe uhirtuzu kutyin wa duku. Uwui so usirne nafo ticini, unin upui ye so nafo nmyi.
Wakati mwanakondoo alipofungua muhuri ya sita, nilitazama na palikuwa na tetemeko kuu. Jua likawa jeusi kama gunia la singa, na mwezi mzima ukawa kama damu.
13 Iyini kitene kani disso nan nya inyi, nafo na affa kuka asa idiso kubi liyinin, na ifunu wa zinlinghe.
Nyota za mbinguni zikaanguka katika nchi, kama mtini upukutishavyo matunda yake ya wakati wa baridi unapotikiswa na kimbunga.
14 Kitene kani sa ki wullu nafo kuffa ninyerte na ijinkpilo. Ko lome likup nin npege iwa kala nani kiti mine.
Anga ilitoweka kama gombo lililoviringishwa. Kila mlima na kisiwa vilihamishwa mahali pake.
15 Anug ago nyulele nan nanit agegeme addidia, anan nimon nacara, anan nakara, nan ko gha tutun, kucin nin nlenge na ibunku ghe, nyeshine nan nya natai, nan natala nakup.
Kisha wafalme wa nchi na watu maarufu na majemadari, matajiri, wenye nguvu, na kila mmoja aliye mtumwa na huru, wakajificha katika mapango na katika miamba ya milima.
16 Iworo nakupe nan natale, “Disson kitene bite! Nyeshen nari nmoru nlenge na asosin kitene kutet tigo nin tinana nayi kuzara.
Wakaiambia milima na miamba, “Tuangukieni! Tuficheni dhidi ya uso wake aketiye kwenye kiti cha enzi na kutoka hasira ya mwanakondoo.
17 Bara liyiri lidia tinana nayi ndah, ghari nwasa ayisina?”
Kwa kuwa siku kuu ya gadhabu yao imewadia, na ni nani awezaye kusimama?”

< Uruyan Yuhana 6 >