< Uruyan Yuhana 21 >

1 Nnin yene kitene kipese nin yi upese, kitene kipese nin yi upese namu katu, kuli wa duu ba.
Kisha nikaona mbingu mpya na dunia mpya. Mbingu ile ya kwanza na dunia ile ya kwanza vilikuwa vimetoweka, nayo bahari pia haikuweko tena.
2 Nnye kipin kilau, urshalima upese, uwa tolu unuzu kiti Kutelle, ikelle ngne fo gankisono bar ulesse.
Nikaona mji mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka kwa Mungu mbinguni. Ulikuwa umetayarishwa vizuri kama bibi arusi aliyepambwa tayari kukutana na mumewe.
3 Nlanza liwui lidya unuzu kiti lisosin me nworo, “Yene! Kiti lisosin Kutelle di nan nanit aba nin so nan nginu. Iba so anit me Kutelle litime ba yitu ligowe, amere tutung ba yitu Kutelle mine.
Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka katika kiti cha enzi ikisema, “Tazama! Mungu amefanya makao yake kati ya watu. Atakaa kati yao, nao watakuwa watu wake, naye atakuwa Mungu wao.
4 Aba wesu mmizin niyizimine vat, na ukul ba kuru uyita ba, sa tinana nayi, sa kuchulu, sa ulanzun konu. Adu akuse mmankatu.
Yeye atayafuta machozi yao yote; maana hakutakuwako tena na kifo, wala uchungu, wala kilio, wala maumivu; maana ile hali ya kale imepita!”
5 Ule na awa di kiti lisosine woro, “Yenen! nke imone vat ipese.” A woro, “Nyertine ile imone bar vat nya inseru kibinei nin kidegen.”
Kisha yule aliyeketi juu ya kiti cha enzi akasema, “Tazama, nafanya yote mapya.” Tena akaniambia, “Andika hili, maana maneno haya ni ya kuaminika na ya kweli!”
6 A worei, “Idin su ile imone! Mere Alpha nin Umega, Uchizinu nin ligang, ule na ayi kotu ngne mba ningne asono sa ubiu nikurfung nnuzun uruhun mmen nlai.
Kisha akaniambia, “Yametimia! Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Aliye na kiu nitampa kinywaji cha bure kutoka katika chemchemi ya maji ya uzima.
7 Ule na ale likumme amere ba li ugadue mere ba so Kutelle me, amere tutung ba so gono nin.
Yeyote atakayeshinda atapokea hiki, nami nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.
8 Anung anan fi, ana sali kidegen anan lidu linanzang, anan molsu na nit, anan kaput ndinong, anan ni yiu, anan chil, vat na nan kinuu, kiti lisosin mine ba yi tu kitin jujun la. Ulele unnare ukul umba.” (Limnē Pyr g3041 g4442)
Lakini watu waoga, wasioamini, wapotovu, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, na waongo wote, mahali pao patakuwa ndani ya lile ziwa linalowaka moto na kiberiti; hicho ndicho kifo cha pili.” (Limnē Pyr g3041 g4442)
9 Umong nya na nan kadura kuzorre da seyi, ule na awa min imalin nishik kuzore check nin ti nana nayi aworo, “Da kika mba dursu fi ganki shone, uwani ngono Kutelle.”
Kisha mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na yale mabakuli saba yaliyokuwa yamejaa mabaa saba ya mwisho, akaja na kuniambia, “Njoo! Mimi nitakuonyesha bibi arusi, mkewe Mwanakondoo!”
10 Kube ayirai anyamun udu kitene likup lidya nin lizalang adursei kipin kilau, Urshalima, ntolu unuzu kitene kani na Kutelle duku.
Basi, Roho akanikumba, naye malaika akanipeleka juu ya mlima mrefu sana. Akanionyesha mji mtakatifu, ukishuka kutoka kwa Mungu mbinguni,
11 Urushalima wa di kananng Kutelle, nkanang me wa di fo litala lilau, fo litala lo na sosin fo ujaspa.
uking'aa kwa utukufu wa Mungu. Mwangaza wake ulikuwa kama wa jiwe la thamani kubwa kama yaspi, angavu kama kioo.
12 Awa di nin gbardang, likii lizalang nin nibulung ba nibulung ngne, ni bulungngne tisan nnoon likure nin naba tisan nnonon Israila wa duku.
Ulikuwa na ukuta mrefu na mkubwa, wenye milango kumi na miwili, na malaika wanangojea kumi na wawili. Majina ya wangoja milango kumi na mawili ya Israeli yalikuwa yameandikwa juu ya milango hiyo.
13 Kitene nibulun nitat wa duku, nchara ugule nibulun nitat, nchara ulime nibulun nitat wa duku, kadas me nibulun nitat wa duku.
Kila upande ulikuwa na milango mitatu: upande wa mashariki, milango mitatu, kaskazini milango mitatu, kusini milango mitatu na magharibi milango mitatu.
14 Likii kipine wadi nin liti no likure nin naba, nya na ne tisa na nan kataa me likure nin na ba wadiku.
Kuta za mji huo zilikuwa zimejengwa juu ya mawe ya msingi kumi na mawili, na juu ya mawe hayo yalikuwa yameandikwa majina na mitume kumi na wawili wa Mwanakondoo.
15 Ule na awa lirin nin mi awa min ikoro ile na ina ke nin ni zinariya, imon in yinnun jakaka kipine, ni bulun ngne, nin likii ye.
Basi, yule malaika aliyekuwa anasema nami alikuwa na kijiti cha dhahabu cha kupimia, kwa ajili ya kuupima huo mji, milango yake na kuta zake.
16 Kipine iwa wunun kinin njakake nin pashshe Urumme, inutunu kipine nin fikoron ntunue, amui likure nin na ba njakake-e, mpashshe, nzalang ngne vat urumme (njakake-e).
Mji wenyewe ulikuwa wa mraba, upana na urefu wake sawa. Basi, malaika akaupima mji huo kwa kijiti chake: ulikuwa na urefu, upana na urefu wa kwenda juu, kama kilomita elfu mbili na mia nne.
17 Anun kuru a nutuno likii ye, a nutuno nkpatak ukubik likoalt nin na kut anas nin na nas kataan ncharan nnit usirne (Ule na udi nofo kataa nnon kadura Kutelle).
Kisha akaupima ukuta wake pia; nao ulikuwa mita sitini kwa kipimo cha macho cha kibinadamu ambacho malaika alitumia.
18 Likii ye iwa ke nin litalan njaspa kipinne nin litalan nzinariya chas, fo madubi makanang.
Ukuta huo ulikuwa umejengwa kwa mawe mekundu ya thamani, na mji wenyewe ulikuwa umejengwa kwa dhahabu safi, angavu kama kioo.
19 Watu litino likii i wa ke nin na tala a kanang, inchizine wa di nin jaspa, imbewa di nin sapphire, intatte wa dinin agate, innasse wa di emerald,
Mawe ya msingi wa ukuta huo yalikuwa yamepambwa kwa kila aina ya mawe ya thamani. Jiwe la kwanza la msingi lilikuwa jiwe la thamani jekundu, la pili yakuti samawati, la tatu kalkedoni, la nne zamaradi,
20 intaune wa di onyx, intochine wa di carnelian, inzorre wa di chrysolite, in lirre wa di Beryl, intiri wa di topaz, in likure wadi chrysopprase, in likure nin irum wadi jacinth, inlikure nin niba wa di amethyst.
la tano sardoniki, la sita akiki, la saba krisolito, la nane zabarijadi, la tisa topazi, la kumi krisopraso, la kumi na moja yasinto, na la kumi na mbili amethisto.
21 Nibulung likure nin ni ba wa di ni pearls likure nin na ba, ko ka me kibulung i wa ke nin pearl urum, tibau nya kipinne wa di vat nin nizinariya, uwa yene, uba yeneng nkannang ngne niyizi.
Na ile milango kumi na miwili ilikuwa lulu kumi na mbili; kila mlango ulikuwa umetengenezwa kwa lulu moja. Barabara kuu ya mji ilikuwa imetengenezwa kwa dhahabu safi, angavu kama kioo.
22 Na nira yene kilari lisosin Kutelle nya kipinne ba, kaa na ki wa di nofo iworo mun kin Go Kutelle ule na amiin vat nimon, gono Kutelle amere kiti lisosin me.
Sikuona hekalu katika mji huo, maana Bwana Mungu Mwenye Uwezo na yule Mwanakondoo ndio Hekalu lake.
23 Watu kipine na ki wa chinin su uwu sai upui ule na aba ti kipine ki so kanang, nkanan Kutelle ndursu litime, upitilla kipine unnare gono me.
Mji huo hauhitaji jua wala mwezi kuangazia, maana utukufu wa Mungu huuangazia, na taa yake ni yule Mwanakondoo.
24 Nipinpin nye ba chinu vat bar nkanang kipine, ago nye-e ba dak nin nimon ichine mine vat nan-nye.
Watu wa mataifa watatembea katika mwanga wake, na wafalme wa dunia watauletea utajiri wao.
25 Nibulun me na iba tursu ni nin ba nin lirin, nakitik ba yitu kikane ba.
Milango ya mji huo itakuwa wazi mchana wote; maana hakutakuwa na usiku humo.
26 Iba da dasu nin nimon imang nin ngantun mmin-mmin nya kipine.
Fahari na utajiri wa watu wa mataifa utaletwa humo ndani.
27 Na imomon ndinong ba piru nan nye ba sa umong unan tazunu, sa imon nchin, sa urusuzu kiti ba piru ku, sei ule na lisa me ina yertin nyan tagardan nlai ngono me.
Lakini hakuna chochote kilicho najisi kitakachoingia humo; wala mtu yeyote atendaye mambo ya kuchukiza au ya uongo hataingia humo. Ni wale tu walioandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo ndio watakaoingia ndani.

< Uruyan Yuhana 21 >