< Uruyan Yuhana 10 >

1 Ntunna in yene nkan gono kadura kidya din cinu utolu unuzu kitene kani. Iwa tursu ghe nin kuwut, a likashi wa di kitene liti me. Umuro me wa massin uwui a abunu me nafo tilem nla.
Kisha nikamwona malaika mwingine mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa amevikwa wingu, na upinde wa mvua kichwani mwake. Uso wake ulikuwa kama jua, na miguu yake ilikuwa kama moto.
2 Awa min kafa ninyert ncara me na kawadi foang, amini wa darda kubunu ncara ulime me kitene kurawa a kun cara ugule me kitene kutiyen.
Mikononi mwake alishika kitabu kidogo kimefunguliwa. Aliweka mguu wake wa kulia juu ya bahari, na wa kushoto juu ya nchi kavu,
3 Amini wa ti ntet nafo liwui kuculu nzakki, tutung awa ti ntet ututuzu kuzor une asa u gurno.
na kuita kwa sauti kubwa kama ya mngurumo wa simba. Alipopaaza sauti, ngurumo saba ziliitikia kwa kishindo.
4 Asa ututu kuzor une ngurno nwa din nworu nnyertin, nlanza liwui kitene kane nworu, “Nyeshe likot uliru ule na ututu kuzore wa belin. Nna uwa nyertin ba.”
Na hizo ngurumo saba ziliposema, mimi nikataka kuandika. Lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni: “Maneno ya ngurumo hizo saba ni siri; usiyaandike!”
5 Gono kadura kanga na nwa yene a yisin kitene kurawa nin kutiyen, a ghantina ucara ulime me kitene kani
Kisha yule malaika niliyemwona akisimama juu ya bahari na juu ya nchi kavu akainua mkono wake wa kulia juu mbinguni,
6 a silo nin le na adi uworu sa ligang-ule na ana ke kitene kani nin nimon ile na idi nan nye vat; uyii nin nimon ile na idi nan nye vat, a kurawa nin nimon ille na idi nan nye vat: “Na umong umolu kubi ma yituku tutung ba. (aiōn g165)
akaapa kwa jina la Mungu aishiye milele na milele, Mungu aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, bahari na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo. Akasema, “Wakati wa kusubiri zaidi umekwisha! (aiōn g165)
7 Ama lilo na gono kadura kin zore cinu uwulsunu kulantung me, ma imon inyeshin Kutelle ma nin kulu, nafo na awa belin acin me anan liru nin nuu me.”
Lakini wakati ule malaika wa saba atakapotoa sauti yake, wakati atakapopiga tarumbeta yake, Mungu atakamilisha mpango wake wa siri kama alivyowatangazia watumishi wake manabii.”
8 Liwuiye na nwa lanza kitene kane su uliru nin mi tutung, aworo, “Cang, sere kufa ninyerti kongo na kudi ncara ngono kadure ule na a yissin kitene kurawa nin kutien.”
Kisha ile sauti niliyokuwa nimeisikia kutoka mbinguni pale awali ikasema nami tena: “Nenda ukakichukue kile kitabu kilichofunguliwa, kilicho mkononi mwa malaika asimamaye juu ya bahari na juu ya nchi kavu.”
9 Nya ndo kini gono kadurawa Kutelle nbelin ghe aniyi kaffa ninyerte. A woroi nenge, “Sere kufe uli kunin. Kuma ti liburi fe gbagai, ana nnuufe, kuba yitu mamas nafo titong.”
Basi, nikamwendea huyo malaika, nikamwambia anipe hicho kitabu kidogo. Naye akaniambia, “Kichukue, ukile; kinywani mwako kitakuwa kitamu kama asali, lakini tumboni kitakuwa kichungu!”
10 Nwa seru kafa ninyerte ncara ngono kadure nleo kunin. Ku wa di mamas nnuu nighe ta gbagbai.
Basi, nikakichukua kitabu hicho kidogo kutoka mkononi mwa huyo malaika, nikakila; nacho kilikuwa kitamu kinywani mwangu kama asali, lakini nilipokimeza kikawa kichungu tumboni mwangu.
11 Ntong tiwui woroi nenge, “Uma kuru usu anabae tutung gbas kitene nanit gbardang, timin, tilem nin nago.”
Kisha nikaambiwa, “Inakubidi tena kutangaza ujumbe wa Mungu kuhusu watu wengi, mataifa, watu wa lugha nyingi na wafalme!”

< Uruyan Yuhana 10 >