< Ukolosiya 3 >

1 Andi Kutelle wa fiu munu nin Kristi Piziran imon kitene kani, ki nkanga na Kristi sosin ku ncara ulime un Kutelle.
Basi, ikiwa mmefufuka pamoja na Kristo, panieni mambo ya juu, kule Kristo aliko, ameketi upande wa kulia wa Mungu.
2 Kpilizan Kitene nimon ile na idi kitene kani na kitene nile na idi inye ba.
Muwe na hamu ya mambo ya huko juu, na siyo mambo ya hapa duniani.
3 Bara una icu, ulaife nyanshin kitin Kristi nya Kutelle.
Maana ninyi mmekufa na uzima wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.
4 Kubin dak Kristi ulai fe iwa puun umini ba kuru ipuunfi nin Kristi nanya ngongon me.
Uzima wenu halisi ni Kristo, na wakati atakapotokea ndipo nanyi pia mtakapotokea pamoja naye katika utukufu.
5 Mollon, bara nani, iiti nibinai nalapi mine inye-kulapi zina, usalin lau, ntuturi, uciu kibinai nimon, inazan, nkot, unere udurtu ncil.
Basi, komesheni kabisa kila kitu kilicho ndani yenu ambacho chahusika na mambo ya kidunia: uasherati, uchafu, shauku, tamaa mbaya na uchu (ambao ni sawa na kuabudu sanamu).
6 Udi barananere tinanayi Kutelle wa dak kiti nono salin durtu nliru.
Kwa sababu ya mambo hayo hasira ya Mungu huwajia wote wanaomwasi.
7 Udi nanya nile imonere anung wang wandi ncinu kubi na iwa sosin nanghinu.
Wakati mmoja ninyi pia mliishi kufuatana na mambo hayo, mlipotawaliwa nayo.
8 Bara nene nyan piit kitene nile imone -tinana ayi, ayi ananzan, unityi unanzan, tizogo nin nimon incing, na iwa nuzu nanya tinu mine b.
Lakini sasa mnapaswa kuachana na mambo haya yote: hasira, tamaa, uovu; kufuru au maneno yasiyofaa yasitoke kamwe vinywani mwenu.
9 Na iwa ati mine kinu ba, bara ina nutun minu kitin nit ukuse nin nadadume.
Msiambiane uongo, kwani ninyi mmekwisha vua ule utu wa kale pamoja na matendo yake yote,
10 Ina ni nati annit apese ilenge na ina kusunannya nyiru kuyeli mye, kuyeli nlenge na ana kele minu apese.
mkavaa utu mpya. Huu unaendelea kurekebishwa na Mungu, Muumba wake, kadiri ya mfano wake, ili mpate kumjua Mungu kwa ukamilifu.
11 Nanya nle uyiruwe na ku Yahudawe sa ku Hiliniyawe duku ba sa unan kalu kucuru sa unan salin nkale asa unit uhem nnanndiru litii, kucin ilenge na adi licin ba bara nani Kristi amere imon vat nanya nimon vat.
Katika hali hii, hakuna tena tofauti kati ya Mgiriki na Myahudi, aliyetahiriwa na asiyetahiriwa, msomi na asiye msomi, mtumwa na mtu aliye huru. Kristo ni kila kitu, na yumo katika yote.
12 Taan atimine nafo alenge na Kutelle na fere naninanya nlau nin su linwana kibinai kunekune ayi ashau unonku kibinai.
Ninyi ni watu wake Mungu; yeye aliwapenda na kuwateua. Kwa hiyo basi, vaeni moyo wa huruma, wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu.
13 Tizan nibinai nishau nin linwana, ishawa kulapi linwana asa umon dinin tinanzan nin nmong shawan nafo na Cikilare na shawa nin nalapi mine.
Vumilianeni na kusameheana iwapo mmoja wenu analo jambo lolote dhidi ya mwenzake. Mnapaswa kusameheana kama Bwana alivyowasamehe ninyi.
14 Kitene nile imone vat yitan nin unnere ukuluna nimon vat.
Zaidi ya hayo yote, zingatieni upendo kwani upendo huunganisha kila kitu katika umoja ulio kamili.
15 Na lisosin limang Kristi suo nanya nibinai mine nanya lisosin limang lolere iwa yicila minu mu kidowo kirum, son anangodiya.
Nayo amani ya Kristo itawale mioyoni mwenu; maana kwa ajili hiyo ninyi mmeitwa katika mwili huo mmoja. Tena muwe na shukrani!
16 Na liggbulang Kristi suo nanya mine gbardang vat nin kujinjin, dursuzu inizu atimine ushawara nin naleli Nruh, suun alalin godiya nanya nibinai mine vat udu kiti Kutelle.
Ujumbe wa Kristo ukae ndani yenu pamoja na utajiri wake wote. Fundishaneni na kushauriana kwa hekima yote. Imbeni zaburi, nyimbo na tenzi za kiroho; mwimbieni Mungu mioyoni mwenu kwa shukrani.
17 Vat nile imon na uba su-nanya ligbulang sa katwa-suun vat nanya lissa Ncikilari Yesu nin godiya kiti Kutelle udu Ucif nanya Yesu.
Na, kila mfanyacho kwa neno au tendo, fanyeni vyote kwa jina la Bwana Yesu na kumshukuru Mungu Baba kwa njia yake.
18 Awani toltunon ati mine kiti nales mineile imon na iciuari une kiti Kutelle.
Enyi akina mama, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana.
19 Anung ales taan usu na wani mine, na iwa naniza ayi nin ghinu ba
Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao.
20 Non, dorto anan macu mine nanya nimon vat ule imon nyinuari kitin Chikilari.
Enyi watoto, watiini wazazi wenu daima maana hiyo humpendeza Bwana.
21 Anung Acif, na iwa jottu ayi nono mine nin liru ba, bara nibinai mine wati camcam.
Nanyi wazazi, msiwachukize watoto wenu, la sivyo watakata tamaa.
22 Anung acin, durton an cikilari mine nidowo nanya nimon vat, na bara uyenju nizi nanit ba, bara nin kibinai kirum kin fiu Ncikilari.
Enyi watumwa, watiini wakuu wenu wa kidunia katika mambo yote, na si tu wakati wanapowatazama kwa kuwa mnataka kujipendekeza kwao; ila fanyeni hivyo kwa moyo wote, kwa sababu ya kumcha Bwana.
23 Vat ni lemong na idinsu, suun nin kibinai krum nafo udu Ncif na nafo udu nanit ba
Kila mfanyalo, fanyeni kwa moyo wote, kwa sababu ya Bwana na si kwa ajili ya mtu.
24 Iyiru iba seru kiti Ncikilari ugadu ulenge na udi un minere, idin suu Ncikilari Kristi katwa.
Kumbukeni kwamba atawapeni tuzo lile alilowawekea watu wake. Mtumikieni Kristo Bwana!
25 Ame ulenge adin suu imon inanzang iba tunughe nin nimong inanzang ile na adin suu, na iba tunughe mun ba.
Atendaye mabaya atalipwa kufuatana na ubaya wake; Mungu hana ubaguzi.

< Ukolosiya 3 >