< 2 Timotawus 2 >

1 Fe bara nani gono ning, se likara nanyan bolu Kutelle ulenge na udi nanyan Kristi Yesu.
Basi, wewe mwanangu, uwe na nguvu katika neema tunayopata katika kuungana na Kristo Yesu.
2 Nin nimon ilenge na uwa lanza kiti ning nanya niyizi iba gbardang, na inin nanya nacara nanit acine alenge na ima yinnu udursuze wang.
Chukua yale mafundisho uliyonisikia nikitangaza mbele ya mashahidi wengi, uyakabidhi kwa watu wanaoaminika, ambao wataweza kuwafundisha wengine pia.
3 Pira inniu nin mi nafo kusojan Kristi Yesu kucine.
Shiriki katika mateso kama askari mwaminifu wa Kristo yesu.
4 Na kusoja duku ko nakudi katwa akuyita nanya lanzun mang yii ulele, bara anan na una ubun me nmang.
Mwanajeshi vitani hujiepusha na shughuli za maisha ya kawaida ili aweze kumpendeza mkuu wa jeshi.
5 Tutung, andi umon cum nafo anan cum sesun nduk, na asa inaghe uduke ba se adofino tiduka ncume.
Mwanariadha yeyote hawezi kushinda na kupata zawadi ya ushindi kama asipozitii sheria za michezo.
6 Uso gbas ame unan katwa kune na adin su kang seru uduk nimon kunene nin cizunu.
Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno.
7 Kpiliza kitene nimon ile na ndin bellu, bara Kutelle manifi uyinnun vat nimon.
Fikiria hayo ninayosema, kwani Bwana atakuwezesha uyaelewe yote.
8 Lizinon Yesu Kristi ku, Ucizunun fimus in Dauda, urika na iwa fyghe nanyan kul. Ulele di cot nin liru ulau nighari,
Mkumbuke Yesu Kristo aliyefufuliwa kutoka wafu, aliyekuwa wa ukoo wa Daudi, kama isemavyo Habari Njema ninayoihubiri.
9 Urika na ndin niu udun terii nafo unan molsu nanit. Ama na ina teru uliru Kutelle ba.
Kwa sababu ya kuihubiri Habari Njema mimi nateseka na nimefungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu haliwezi kufungwa minyororo,
10 Bara nani ndin teru nayi nanya nimon vat bara alenge na ina fere, inung wang nan se utucu ulenge na udin Kristi Yesu, nin gongon sa ligan. (aiōnios g166)
na hivyo navumilia kila kitu kwa ajili ya wateule wa Mungu, ili wao pia wapate ukombozi upatikanao kwa njia ya Yesu Kristo, na ambao huleta utukufu wa milele. (aiōnios g166)
11 Ulengee ubelle un yinnuari: “Andi ti kuu ninghe, tima kuru titi ulai ninghe.
Usemi huu ni wa kweli: “Ikiwa tulikufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye.
12 Andi ti tere nibinayi, tima kuru tisu tigo ninghe. Andi tinarighe, ame wang manari nari.
Tukiendelea kuvumilia, tutatawala pia pamoja naye. Tukimkana, naye pia atatukana.
13 Asa ti di nin diru kidegen ame wang baso sa kidegen, bara na awasa anari litime ba.”
Tukikosa kuwa waaminifu, yeye hubaki mwaminifu daima, maana yeye hawezi kujikana mwenyewe.”
14 Leu ubun lizunu nani nin nimong ilele. Wunno nani atuf nbun Kutelle na iwa su kabun kitene tigbula ba. Bara ilenge imone na imon duku icine ba. Bara ilenge imone ukul duku nalenge na idin lanzu.
Basi, wakumbushe watu wako mambo haya, na kuwaonya mbele ya Mungu waache ubishi juu ya maneno. Ubishi huo haufai, ila huleta tu uharibifu mkuu kwa wale wanaousikia.
15 Fo kidowo udak nin litife ubun Kutelle imon seru nafo unit katwa sa ncin. Mino tigbulang kidegene gegeme.
Jitahidi kupata kibali kamili mbele ya Mungu kama mfanyakazi ambaye haoni haya juu ya kazi yake, na ambaye hufundisha sawa ule ujumbe wa kweli.
16 Suna uliru bidibidi, na udin du nin diru Kutelle.
Jiepushe na majadiliano ya kidunia na ya kipumbavu; kwani hayo huzidi kuwatenga watu mbali na Mungu.
17 Uliru mine din malu kiti nafo ukul tijii kidowo. Nanya mine Himenes nin Piletus duku.
Mafundisho ya aina hiyo ni kama donda linalokula mwili. Miongoni mwa hao waliofundisha hayo ni Humenayo na Fileto.
18 Alele anitari na wuro kidegene. Idin ufitu nanan kulen mal katu. Ina kpilya uyinnu sa uyenu namong.
Hawa wamepotoka kabisa mbali na ukweli, na wanatia imani ya watu wengine katika wasiwasi kwa kusema ati ufufuo wetu umekwisha fanyika.
19 Vat nin nani, likara litino Kutelle yissin. Lidi nin nile imone: “Cikilare yiru alenge na idi anme” ni “Vat nlenge na idin yiccughe nin lissa Kutelle ama sunu katwa kanangzang gbas.”
Lakini msingi thabiti uliowekwa na Mungu uko imara, na juu yake yameandikwa maneno haya: “Bwana anawafahamu wale walio wake,” na “Kila asemaye yeye ni wa Bwana, ni lazima aachane na uovu.”
20 Kilari nikurfu, na niti cinsu tizinariya nin azurfari duku cas ba. Kitin cisu nakatu duku nin tiwin. Nanya nalele in katwa kalau duku, a in katwa kanangzang ku.
Katika nyumba kubwa kuna mabakuli na vyombo vya kila namna: vingine ni vya fedha na dhahabu, vingine vya mbao na udongo, vingine ni vya matumizi ya pekee na vingine kwa ajili ya matumizi ya kawaida.
21 Asa umong wese litime unuzu katwa kanangzang, ame kitin cisu nimon icinari. Ina kalaghe iceu ugan, ama yitu imon katwan Cikilari, inin kyeleghe bara kokame katwa kacine.
Basi, kama mtu atajitakasa kwa kujitenga mbali na mambo hayo yote maovu, atakuwa chombo cha matumizi ya pekee, kwa sababu amewekwa wakfu, anamfaa Bwana wake na yupo tayari kwa kila kazi njema.
22 Cong inuzu nanya kunaniyizi nfitu. Dorton katwa kacine nin cum, uyinnu sa uyenu, usuu, a lissosin limang nin nalenge na idin yiccu Cikilare ku nanya nibinayi nilau.
Jiepushe na tamaa za ujana, fuata uadilifu, imani, upendo, amani, pamoja na watu wote ambao wanamwomba Bwana kwa moyo safi.
23 Ama narin utirinu tilalan nin dirun nonku liti. Uyiru nwo asa uda nin mayardang.
Epuka ubishi wa kijinga na kipumbavu; wajua kwamba hayo huleta magomvi.
24 Na kucin Kutelle nwasu kabun ba. Ama na yitu sheuwari kitin kogha, awasa adursuzo anin yita seng.
Mtumishi wa Bwana asigombane. Anapaswa kuwa mpole kwa watu wote, mwalimu mwema na mvumilivu,
25 Amasu nin nonku liti udursuzu nalenge na inari uliru me. Nbata Kutelle nani ukpilu nanya yinnun liru kidegen.
ambaye ni mpole anapowaonya wapinzani wake, kwani huenda Mungu akawajalia nafasi ya kutubu, wakapata kuujua ukweli.
26 Iwasa iyita nin kpilu tutun inin suna libardang shintan, kimal nkifu mine na awa kifo bari katwa me.
Hapo fahamu zao zitawarudia tena, wakaponyoka katika mtego wa Ibilisi aliyewanasa na kuwafanya wayatii matakwa yake.

< 2 Timotawus 2 >