< 1 Ukorintiyawa 5 >

1 Tina nlanza ubellen uworu nenge kulapin zina di nan nya mine, imusu kulapi kọ na iyinna mun nan nya na lumai wang ba. Nafo na ubelle di umon nan nya mine adin nnozu nin nwani ncife.
Ziko habari za kuaminika kwamba kuna uzinzi miongoni mwenu; tena ni uzinzi mbaya ambao haujapata kuwako hata kati ya watu wasiomjua Mungu. Nimeambiwa eti mmoja wenu anaishi na mke wa baba yake!
2 Anun din nfo figiri! Na iwana di tiyoma ba? Ulle na assu ille imon gbas iba kallughe nanya mine.
Mnawezaje kujivuna? Ingekuwa afadhali kwenu kuomboleza, na huyo aliyefanya kitu hicho aondolewe miongoni mwenu.
3 Bara nani, nsali ku nan nya kidowo, vat nani nduku nan nya nfip milau, inna malu usu nan su nille imone ushariya nafo uwandi kite.
Nami, kwa upande wangu, ingawa kwa mwili niko mbali nanyi, hata hivyo kwa roho niko hapo pamoja nanyi: na hivyo, kama vile nipo hapo, nimekwisha mhukumu huyo aliyefanya jambo hilo la aibu.
4 Assa izurro ligowe nan nya lisan Chikilari bite Yesu, nfip nighe duku nin likara Chikilari bite Yisa-nna mallu usu unit une ushariya.
Wakati mnapokusanyika pamoja kwa jina la Bwana Yesu, nami nikiwa pamoja nanyi kwa roho, basi, kwa uwezo wa Bwana wetu Yesu,
5 Nnakpaghe nachara nshitan a mollu kidowo finawa, bara fisudu me nanse utuchu liri ndak in Chikilari.
mkabidhini mtu huyo kwa Shetani ili mwili wake uharibiwe na roho yake iweze kuokolewa Siku ile ya Bwana.
6 Ufo figiri mine caun ba. Na anun yiru nwo uyist chingilin asa utah likalang ta fukuku ba?
Majivuno yenu hayafai! Je, hamjui kwamba chachu kidogo huchachusha donge lote la unga?
7 Wesen atimine kitin nyist ukuse inan nso likalang lipese nene na idi nafo likalan nborodi ubishe. Bara Kristi, kukam ntuchu bite, na iwa gutun mmii me.
Jitakaseni, mkatupe mbali chachu ya kale ili mpate kuwa donge jipya lisilotiwa chachu kama mnavyopaswa kuwa; maana, Kristo, Pasaka yetu, amekwisha tolewa tambiko.
8 Bara nani na tisu ubuki nayi abo, na nin nyist ukuse ba, uyist na udin dasu nin likara linanzang nin magunta, amma nin mborodi nsalin nmucu ucine nin kidegen.
Basi, tufanye karamu hiyo si kwa chachu ile ya kale, chachu ya ubaya na uovu, bali kwa mkate usiotiwa chachu, mkate wa usafi na kweli.
9 Nna nyertu munu nan nya kuffa niyerte nighe yenje iwa munu ati nin na nan kulapin nzina.
Niliwaandikia katika barua yangu msishirikiane na wazinzi.
10 Uwan ma bellin minu nworu na nlon libau duku na linmunu minu nan nanan nzina nanan nsu nimon nyi, nin nanan bolusu nimon, ukudayi, sa akiri, alle nanit, sa anan nchil, ucaun inuzu nan nya nyi.
Ukweli ni kwamba sikuwa na maana ya watu wote duniani walio wazinzi, wachoyo, walaghai na wenye kuabudu sanamu. Maana, ili kuwaepa hao wote ingewalazimu ninyi kuihama dunia hii kabisa!
11 Nene ndin nyertu munu yenje umon wan munu liiti nin gwana kilime sa kishono na adi nan nyan Kristi nin nanit alle na idin su uzina, sa anan nsu nimon nyi, sa anan nchil, sa anan tizogo, sa anan nson ntoro, sa ukiri. Yenje iwa lii imonli ninghe.
Nilichoandika ni hiki: msishirikiane na ndugu Mkristo aliye mzinzi, mchoyo, mwenye kuabudu sanamu, mchongezi mlevi na mlaghai. Mtu wa namna hiyo, hata kula msile naye.
12 (Iyaghari myen ninku nin su nale na isali nan nya kutii Kutellẹ ushara?) Na, anughere din woru isu ale na idi nanya kutii Kutellẹ Ushara we ba?
Je, ni shauri langu kuwahukumu watu walio nje? Hao Mungu atawahukumu. Je, ninyi hampaswi kuwahukumu wale walio katika jamii yenu ninyi wenyewe?
13 Bara nani Kutellẹ dinsu alle na idin ndas ushara “Nuntunon fisudu finanzan fone nanya mine.”
Mfukuzeni mbali nanyi huyo mwovu!

< 1 Ukorintiyawa 5 >